Baada ya majonzi mazito ya kifo cha aliekua mtangazaji wa
kituo cha redio Efm marehemu SETH maarufu kwa jina la Bikira wa kisukuma Mc
pilipili ameandika haya kupitia ukurasa wake wa picha instagram
"inaumiza...... mtoto wa Seth Mildred Giulians (Bikira
wa kisukuma) huyu hapa"
akiwa msibani amemshika mtoto wa Bikila wa kisukuma wakiimba
pambio zinazoimbwa malanyingi kwenye misiba pambio ya unapozulu wengine
usinipite huku mtoto huyo akichezea ndevu za Mc pilipili.
"Basi Bikira wa Kisukuma alinambiaga niwe navunga hizi
ndevu akaniambia hupenda kuzichezea kila akiwa nae basi mwanangu huyu hapa
alipo anza kuzishika nami nikasafiri nikaenda mbali sana ila huyu mtoto
tutasimamia mpaka akue asome ampendeze mungu na wanadamu ... seth in another
fom"
mwenyezi mungu ailaze mahala pema peponi roho ya marehemu Seth(
Bikira wa kisukuma)


