-->

Mwamvita

Mwamvita

Ni filamu iliyoandaliwa na kampuni ya Blackhouse media chini ya :- Director: faraji kakingo Cameraman: prince hekela Ni filamu ya kitanzania iliyohusisha wasanii mbalimbali wa mkoa wa mbeya kutoka wilaya ya Mbarali mbeya pamoja na wasanii kama #Issa ngoda #Moureen given #mzee kapalata wa TMT #faraji kakingo Mwisho wa mwezi huu itakuwa mtaani kwako
 
Back To Top