“Gabo ni kirusi popote alipo anajijua yeye ni kirusi lazima ajirekebishe na abadilike ukiangalia hajafanya kitu chochote kweny tasnia tangu amepewa tuzo, hata kwenye matukio makubwa hawezi kutokea kwasababu hata akialikwa haonekani kama ni staa,mtu kama yule anaweza kurudia suti mara tatu kwenye event kweli?”
Aliongeza,” kama anataka kubadilika abadilike kwasababu huwezi kuwa staa halafu unaishi maisha sawa na watu wa kawaida,”
Muigizaji huyo amedai yeye ni ‘anti Virus’ hivyo atajitahidi kurekebisha hali hiyo na kuwa mfano kwa wasanii wa filamu.
Bongo5


